SHILOLE ATOA YA MOYONI "KUWAPANDISHA JUKWAANI WANAUME NA KUNISHIKA KINAWAFURAHISHA WENGI"
Baada
ya watu kuongea sana kuhusu jinsi Shilole anavyo fanya show zake na
staili ya kuwapandisha wanaume jukwaani na kucheza nao kwa staili ya
nisheke popote.
SAFARI ZA MIKOANI SASA UTATA...! MALORI NA MABASI FUL MGOMO... CHEKI HAPA
Na Goodluck Hongo
Siku moja baada ya Chama cha Wamiliki wa Malori
nchini (TATOA), kutangaza usimamishaji huduma za kusafirisha mizigo
ndani na nje ya nchi kuanzia leo, Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo
Mikoani (TABOA), nacho kimetangaza usitishaji huduma zake (kusafirisha
abiria), kuanzia kesho
0 comments: