HOMA YA NGURUWE YAUA NGURUWE 900 JIJINI MBEYA


Homa ya Nguruwe imerudi tena kwa mara ya pili mkoani Mbeya na kuua zaidi ya nguruwe 900 katika wilaya za Mbeya na Rungwe na kuwaingiza hasara wafugaji wa mifugo hiyo.
Mganga Mkuu wa Mifugo Mkoani Mbeya, Solomon Nong'ona akizungumza na waandishi wa habari leo amesema kuwa ugonjwa huo umerudi tena na kuua zaidi ya nguruwe 900 ambapo ugonjwa huo kwa mara ya kwanza ulizuka mwezi wa Januari.

0 comments:

WAJUMBE WAWILI WENYE JINA MOJA WASIMAMISHWA




Wajumbe wa Bunge la Katiba wakiwa bungeni mjini Dodoma jana. Picha na Emmanuel Herman 

0 comments:

Baada ya kukusanywa maoni ya Katiba,haya ni majumuisho ya maoni hayo.

katibaVugu vugu la Katiba bado linazidi kupamba moto ambapo leo kupitia ukurasa wa Facebook wa Mh. January Makamba amepost kuhusu sehemu na  sehemu ya maoni ambayo amedai ni kwa mujibu wa kitabu cha Takwimu za ukusanyaji maoni ya  katiba.
jKitabu hicho cha Takwimu kimetolewa  na Jaji Joseph Warioba ambae ni Mwenyekiti wa Tume ya kukusanya maoni ya Katiba mpya.
JOSEPH-SINDE-WARIOBA-TUME-YA-KATIBA-TANZANIA
‘Sehemu ya maoni kwa mujibu wa kitabu cha takwimu za ukusanyaji maoni ya Katiba kama kilivyotolewa na Tume ya Warioba:
Waliotoa maoni: 351,664. Kuhusu muundo wa Muungano: 47,820 au 14%. Serikali 3: 17,783. Serikali 2: 14,234. Serikali 1: 3,674. Mkataba:12,092
Baadhi ya maeneo yaliyoongoza kwa kutolewa maoni: Haki za Binadamu: 13.7%; Muungano: 10.4%; Huduma za Jamii: 8.2%; Urais wa Jamhuri: 7.8%
Katika michango ya haki za binadamu, uhuru wa kuabudu uliongoza kwa 41.5% ya michango ya eneo hili likifuatiwa na suala la ushoga kwa 9.7%
Kwenye michango 105,969 iliyotolewa kuhusu haki za binadamu, haki za wazee zilipata 7.8% ya michango, haki za watoto: 4.4%, wanawake: 5.4%
Maoni 65,535 yalitolewa kuhusu huduma za jamii. Hoja zilizoongoza kwa maoni ni huduma za elimu (75%), afya (14.3%). Huduma nyinginezo (10%).
Kwenye maoni kuhusu elimu,maoni yaliyoongoza ni yale yaliyotaka elimu itolewe bure yakifuatiwa na yale yaliyotaka mfumo wa elimu urekebishwe.
Kwenye maoni yanayohusu huduma za afya, maoni yaliyoongoza (asilimia 28.5) ni yale yanayotaka Serikali igharamie huduma za afya.
Maoni 59,996 yalihusu Urais. 47.7% ya haya, yalihusu Mamlaka ya Rais; 16.7% yalihusu Rais kushtakiwa Mahakamani; 8.3% Rais anavyopatikana.
Katika maoni 28,593 yaliyohusu Mamlaka ya Rais, zaidi ya robo tatu ya maoni (76%) yalitaka mamlaka ya Rais yapunguzwe’.-January Makamba.

0 comments:

HUYU NDIYE MSANII WA BONGO ALIYEPIGWA MARUFUKU KUKANYAGA KENYA


Muimbaji wa Lofa, Top C amesema tangu atangaze kutaka kujiondoa kwenye label ya Candy n Candy ya Kenya, ameanza kupokea vitisho kutoka kwa wasanii waliosalia wanaomchimba mkwara asikanyage tena nchi Kenya.

0 comments:

Mvua zaleta balaa Arumeru,barabara ya Arusha-Dodoma hatarini kukatika

FAMILIA kadhaa katika kijiji cha Meseyeki,Kisongo wilayani Arumeru zimenusulika kusombwa na maji baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji yaliyojaa ndani kwa zaidi ya masaa 10, kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi na kusababisha uharibiru mkubwa wa mali.
.

0 comments:

Kipenga cha kumrithi Mgimwa chapulizwa



0 comments:

Bunge la Katiba vipande vipande



0 comments:

Copyright © 2012 KARINGA NEWS Tz