SHILOLE ATOA YA MOYONI "KUWAPANDISHA JUKWAANI WANAUME NA KUNISHIKA KINAWAFURAHISHA WENGI"


Baada ya watu kuongea sana kuhusu jinsi Shilole anavyo fanya show zake na staili ya kuwapandisha wanaume jukwaani na kucheza nao kwa staili ya nisheke popote.

0 comments:

SAFARI ZA MIKOANI SASA UTATA...! MALORI NA MABASI FUL MGOMO... CHEKI HAPA



Na Goodluck Hongo
Siku moja baada ya Chama cha Wamiliki wa Malori nchini (TATOA), kutangaza usimamishaji huduma za kusafirisha mizigo ndani na nje ya nchi kuanzia leo, Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani (TABOA), nacho kimetangaza usitishaji huduma zake (kusafirisha abiria), kuanzia kesho

0 comments:

Copyright © 2012 KARINGA NEWS Tz