Pichani ni katibu wa mbunge wa Arusha mjini ndg.Gabrieli lukas  ambae kama unavyo muona  ni miongoni mwa waanga wa kitu kilicho sakika kuwa ni bomu lililo rushwa kwa mkono jana







mkuu wa mkoa akipokea taarifa fupi ya hali ya mgonjwa akiwa ktika chumba maalumu cha upasuaji ktk hospitali ya selisni jijini arusha








0 comments:

Copyright © 2012 KARINGA NEWS Tz