ANGALIA BAADHI YA PICHA KWA WASANII WALIO IWAKILISHA ARUSHA KATIKA KILI MUSIC AWARD BAADA YA KUTUA ARUSHA JANA KATIKA VIWANJA VYA NDEGE JIJINI HAPO
| Akiwa ameshikilia award mbele ni msanii kutoka warrious na nyuma ni odinalli kutoka jambo squred baada ya kushuka na ndege Airport wakitokea Dar es salam |
| hawa ni dogo janja kulia akiwa na ledy fire{ Nomi}wakitokea maeneo ya airport arusha kuwapokea jambo squred pamoja na warriours |
| moja kati ya wawakilishi wa ragge music kutoka Arusha akituwa Arusha airport na award kwa mara nyingine |
| Dogo janja na ledy fire wakiwa viwanja vya ndege Arusha katika picha kulia ni director wa blog ya massackymedia.blogspot.com |
| msanii wa jambo squred {odinalli}akitua A town na furaha isio na mfano |
| Akiwa ameshikilia award mbele ni msanii kutoka warrious na nyuma ni odinalli kutoka jambo squred baada ya kushuka na ndege Airport wakitokea Dar es salam |
| wasanii hao wakielekea kwenye tax baada ya kushuka kwenye ndege |
| hao ni jambo squred,warriours,dogo janja,ledy fire katikati ni peter massacky mmiliki wa blog ya massackymedia.blogspot.com |
| akipewa ongera ni odinalli ktk jambo squired |
| Jambo squired baada kutua A town hapo jana nakilamba award walio ipata kupitia wimbo wao wa tukunyema katika categor ya kikundi bora cha music |
| katika picha wasanii hao wakiwa ktk furaha kwa walicho kifanya |
| Jambo squired na warriours wakijaribu kuwaonyesha watu wa Arusha kuwa hata wao wakipata sapoti kw mashabiki wana mengi na si hayo tu |

0 comments: