ANGALIA BAADHI YA PICHA KWA WASANII WALIO IWAKILISHA ARUSHA KATIKA KILI MUSIC AWARD BAADA YA KUTUA ARUSHA JANA KATIKA VIWANJA VYA NDEGE JIJINI HAPO

Akiwa ameshikilia award mbele ni msanii kutoka warrious na nyuma ni odinalli kutoka jambo squred baada ya kushuka na ndege  Airport wakitokea Dar es salam
                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                              


hawa ni dogo janja kulia akiwa na ledy fire{ Nomi}wakitokea maeneo ya airport arusha kuwapokea jambo squred pamoja na warriours

moja kati ya wawakilishi wa ragge music kutoka Arusha akituwa Arusha airport na award kwa mara nyingine

Dogo janja na ledy fire wakiwa viwanja vya ndege Arusha katika picha kulia ni director wa blog ya massackymedia.blogspot.com

msanii wa jambo squred {odinalli}akitua A town na furaha isio na mfano
kwa mara ya 1 kushiriki na kuchukua ushindi wa kilimusic award kutoka Arusha jambo squred wakiwa maeneo ya viwanja nya ndege Arusha jana wakitokea Dar es salam kulia ni mmiliki wa massackymedia.blogspot.com kwa furaha akiilamba award hiyo ambayo ni ya pekee kwa wasanii hao kwa mwaka 2013

Akiwa ameshikilia award mbele ni msanii kutoka warrious na nyuma ni odinalli kutoka jambo squred baada ya kushuka na ndege  Airport wakitokea Dar es salam

wasanii hao wakielekea kwenye tax baada ya kushuka kwenye ndege

hao ni jambo squred,warriours,dogo janja,ledy fire katikati ni peter massacky mmiliki wa blog ya massackymedia.blogspot.com

akipewa ongera ni odinalli ktk jambo squired
Jambo squired baada  kutua A town hapo jana nakilamba award walio ipata kupitia wimbo wao wa tukunyema katika categor ya kikundi bora cha music

katika picha wasanii hao wakiwa ktk furaha kwa walicho kifanya

Jambo squired na warriours wakijaribu kuwaonyesha watu wa Arusha kuwa hata wao wakipata sapoti kw mashabiki wana mengi na si hayo tu

0 comments:

Copyright © 2012 KARINGA NEWS Tz