HIVI UNAJUA KWAMBA NANDO WA BIG BROTHER AWA MPAMBE WA WEMA SEPETU

Siku Wema Alipoenda kufanya Timbwili kwenye Ofisi za Magazeti Maarufu Bongo Global Publishers Aliongozana na Baadhi ya Wapambe wake Ambao mmoja wapo alikuwa ni Mshiriki wa Big Brother Africa Aliyeiwakilisha Bongo Mwaka Jana anayejulikana kama Ammy Nando ...Kama anavyoonekana kwenye picha hapo alikuwa anajificha asipigwe picha na waandishi habari nje za ofisi za Global Publishers....Najiuliza na yeye Amefuata mkumbo wa Kina Petit na Martin Kadinda ?

0 comments:

Copyright © 2012 KARINGA NEWS Tz