Hiki ndicho kitakachofanyika kwenye Club za New Maisha Morogoro,Mbeya,Dar na Mtwara Weekend hii.

Club Maisha (4)New Maisha Club ndiyo Club pekee Tanzania iliyofanikiwa kuwa na matawi mengi mikoani ukitoa Dar es salaam ambayo ndiko ilikoanza,kwa sasa New Maisha Club ipo Morogoro,Mtwara,Dodoma na Mbeya ambapo kuna baaadhi ya party hufanyika siku moja kupitia club zote hizi.
IMG-20140403-WA0015(1)New Maisha Club 87.8 Mbeya Jumapili ya April 06 Kutakua na usiku wa vyuo ambao utasindikizwa na Roma Mkatoliki huko Roma ataenda pia kuzindua wimbo wake mpya wa K.K.K
IMG-20140403-WA0017New Maisha Club 88.5 Morogoro Jumapili April 06 kutakua na Shilole utakua ni uzinduzi wa video ya Chuna Buzi ambapo kwa Shilole atasindikizwa na Nuh Mziwanda na Darasa.
IMG-20140331-WA0018New Maisha Club 88.4 Mtwara April 06 kutakuwa na Mirror kwenye Mirro’s Night upande wake atakua na Jordan da Prince.
IMG-20140403-WA0018New Maisha Club Dar es salaam 88.5 kutakua na uzinduzi wa wimbo wa Agaba wa Suma Mnazaleth ambaye atasindikizwa na Stamina,Cyril,Tash&Juru,Mabeste,Water Chilambo,Darasa,Messen&Defatality Team.

0 comments:

Copyright © 2012 KARINGA NEWS Tz